NEWS:DIAMOND PLATNUMZ BAADA YA KUMALIZA SHOW ZA EID,YUPO KENYA KIKAZI ZAIDI

Baada ya kumalizana na miki miki ya hapa na pale
jijini na Nairobi kisha kuhamia Mombasa,
Niliamua kurudi Nairobi kidogo kabla ya
kuondoka kurudi Nyumbani Tz.....
Nairobi ni kama nyumbani kwakuwa ni na ndugu pia
ata wakubwa zangu,nikisema ndugu aimanishi ni ndugu
wa kuzaliwa nae tumbo moja lakini namaanisha ni urafiki
 wa karibu kati yangu na baina ya watu
nchini Kenya ambao nawaamini na kuwathamini....!!

My Best Jaguar ndio alikuwa Mwenyeji wangu
 nilipowasili tena Nairobi kutokea Mombasa
tulipanga tukutane tuweze kujadili mambo mawili,
matatu kuhusiana na kazi zetu kiusanii
baada ya hapo tupate muda wa kuchil
na stori nyingine ziweze
kufata zaidi,Namshukuru Mungu kwa kuniweka
salama na kuzidi kuniongoza kwenye
njia zake na kunibariki zaidi na zaidi,hakuna w
akupaswa kumshukuru na kuabudiwa
zaidi ya Mwenyezi Mungu.....! alisema diamond platnumzzzzzz

No comments:

Post a Comment

Adbox

@templatesyard