Jeshi la polisi la Tanzania kupitia kamanda wa kanda ya Dar es salaam
wametoa donge nono la Milioni 100 za kitanzania kwa atakaefanikisha
kukamatwa kwa watu waliosababisha kuunguzwa kwa waingereza
wawili kisiwani zanzibar wikii moja iliyopita...
Akizungumza kamanda Kova alisema ''Jeshi la
polisi limetoa milioni 100 kwa mtu
yoyote atakaesaidia jeshi ili kuweza kumpata
mtu mwenye mtandao huo
wa kinyama cha kuwajeruhi watu kwa kutumia
tindikali...,basi milioni
100 hizi zitakuwa za kwake....''
Jeshi la polisi limetoa kiasi hiko kama changamoto
kwa wananchi wa Tanzania nzima
kuweza kulisaidia jeshi la polisi kwenye msako
huo ambao kwa sasa kupitia
tukio ilo limeweza kuichafua nchi kwa kiasi kikubwa
kwenye maswala ya kiusalama
kwa wageni na hata watali kuanza kuofia hali yao ya usalama.....
Jambo ili limetokea wikii mbili baada ya mmiliki wa
Home shopping centre na msasani city mall
kumwagiwa tindikali na mtu asiejulikana jiji dar es salaam lakini ili
limetokea kisiwani zanzibar kwa wasichana wenye umri
chini ya miaka 20 kumwagiwa tindikali
na watu wasiowajua wakiwa kisiwani hapa kwa
maswala ya ufundishaji watoto yatima....
wametoa donge nono la Milioni 100 za kitanzania kwa atakaefanikisha
kukamatwa kwa watu waliosababisha kuunguzwa kwa waingereza
wawili kisiwani zanzibar wikii moja iliyopita...
Akizungumza kamanda Kova alisema ''Jeshi la
polisi limetoa milioni 100 kwa mtu
yoyote atakaesaidia jeshi ili kuweza kumpata
mtu mwenye mtandao huo
wa kinyama cha kuwajeruhi watu kwa kutumia
tindikali...,basi milioni
100 hizi zitakuwa za kwake....''
Jeshi la polisi limetoa kiasi hiko kama changamoto
kwa wananchi wa Tanzania nzima
kuweza kulisaidia jeshi la polisi kwenye msako
huo ambao kwa sasa kupitia
tukio ilo limeweza kuichafua nchi kwa kiasi kikubwa
kwenye maswala ya kiusalama
kwa wageni na hata watali kuanza kuofia hali yao ya usalama.....
Jambo ili limetokea wikii mbili baada ya mmiliki wa
Home shopping centre na msasani city mall
kumwagiwa tindikali na mtu asiejulikana jiji dar es salaam lakini ili
limetokea kisiwani zanzibar kwa wasichana wenye umri
chini ya miaka 20 kumwagiwa tindikali
na watu wasiowajua wakiwa kisiwani hapa kwa
maswala ya ufundishaji watoto yatima....
No comments:
Post a Comment