Kauli ya Diamond kwa mtoto wake Nillan kwa kutimiza mwaka mmoja Yawachukiza Wengi




Hizi Hapa chini ni Baadhi ya Comments za Watu waliochukizwa na Kauli ya Diamond Platnumz:


  • Laiti kama angekuwa ni mtt wake wa damu asingeweza kuandika utumbo kama huo, shortly nimepata ukakasi wa mzazi wa huyu dogo


  • Mkuu Siku hizi nashangaa mzazi anahamasisha mwanae afanye zinaa! Anasahau na yeye ana mtoto wa kike


  • Na wengine wanatafutiwa hela na baba zao wa mdinye mtoto wake wa kike
  • Kweli Leo ndo nimeamini huyu mtoto sio wake, mbona kwa tiffah hakusema" kuwa mama uje udinywe vizuri watoto wasio na baba ntakulelea"

  • Diamond anataka kutuaminisha kuwa yeye ndiye Star kuwahi kutokea na atakaetokea hapa nchini hakuna mwingine atakaetokea.


  • Ujinga mwingine hata kama ulikimbia shule kuna vitu vingine unapaswa kutumia akili kuviwaza.

No comments:

Post a Comment

Adbox

@templatesyard