NAHITAJI MUME MWEMA WA KUNIOA..UMRI UNAKWENDA

    Habari zenu, mimi nahitaji mwanaume mwema, mwenye heshima,asiyepiga ovyo na anayejua kupenda wa kunioa. Asilimia kubwa ya wanaume ninaowaona huku mtaani wameoa au wana msululu wa wanawake,sasa mwana kama unajijua una sifa hasa ya kuja kuwa mume mwema nijibu. Mimi Nina uhakika ntakuwa mke mwema...Weka e-mail ama number ya simu ntazipitia moja moja
Nacy laurent from Dar

No comments:

Post a Comment

Adbox

@templatesyard