PICHA ZISIZO NA MAADILI ZA DENTI WA CHUO KIKUU HAPA NCHINI ZAVUJA MITANDAONI..

DENT mmoja katika Chuo Kikuu kimojawapo hapa nchini amepiga picha zisizo na maadili akiwa na njemba wake katika visiwa vya Zanzibar.


Mwanafunzi huyo alionekana kutumia muda wa masomo kufanya mambo yake hayo, na kilichowashangaza wengi kile kitendo cha yeye kutoka DODOMA mpaka ZANZIBAR ili kutimiza haja zake katika kipindi ambacho wenzake walikuwa katika masomo..


DADA HUYO NA NJEMBA WAKE WAKIENDELEA KULA RAHA.....

No comments:

Post a Comment

Adbox

@templatesyard